NewsTrending

𝑼𝒁𝑰𝑵𝑫𝑼𝒁𝑰 𝑾𝑨 𝑴𝑨𝑫𝑨𝑹𝑨𝑺𝑨 𝒀𝑨 𝑪𝑯𝑬𝑲𝑬𝑪𝑯𝑬𝑨; 𝑰𝑫𝑨𝑲𝑯𝑶 𝒀𝑨 𝑲𝑨𝑻𝑰

Gavana Mchapakazi FCPA Fernandes Barasa amezindua madarasa ya chekechea katika Shule ya Irechelo, Idakho ya kati.

Walimu wa shule hiyo waliompokea kwa furaha, wamemshukuru gavana huyo kwa viti vya chekechea ambavyo serikali yake iligawa mwaka jana katika shule zote jimboni, kwani viliwafaidi.

Gavana Barasa amesema kwamba wadi zote sitini zitapata miradi kama hiyo, kwa kuzingatia Kauli Mbiu yake ya #MaendeleoNaUsawa.

SUNGAITOTO situs toto Situs Togel Terbesar toto togel situs toto situs toto toto slot